Kiswahili

4.0 KISWAHILI (102)

4.1 MATOKEO YA MTIHANI WA SOMO LA KISWAIIILI MWAKA WA 2010

Jedwali hili Iinaonyesha matokeo ya mtihani wa somo la Kiswahili katika muda wa miaka minne (2007 hadi 2010).

Jedwali 4: Matokeo ya mtihani wa Kiswahili (2007 –  2010)
 

Mwaka
 
Karatasi
 
Watahiniwa
 
Alama ya
Juu
Alama ya
Wastani
Alama ya Tanganisho
 2007
 
1
2
3
Jumla
 272,905
 
40
80
80
200
15.80
32.22
43.49
91.51
6.42
11.91
13.12
27.00
 2008
 
1
2
3
Jumla
 304,314
 
40
80
80
200
14.20
29.18
31.17
74.55
7.18
11.43
13.64
32.25
 2009
 
1
2
3
Jumla
 335,377
 
40
80
80
200
15.40
29.03
32.72
77.15
6.93
11.96
13.11
32.00
 2010
 
1
2
3
Jumla
 354,738
 
40
80
80
200
14.32
33.77
39.22
87.10
6.53
11.96
14.09
28.73

Jedwali hili laonyesha kuwa kwa ujumla:

Alama ya wastani ya karatasi ya 1(102/1) ya mwaka wa 2010 imeshuka ikilinganishwa na mwaka wa 2009.

Matokeo ya karatasi ya pili (102/2) ya mwaka wa 2010 yameshuka yakilinganishwa na yale ya mwaka wa 2009.

Matokeo ya karatasi ya tatu (102/3) ya mwaka wa 2010 yameimarika kutoka alama ya wastani 32.72 mwaka wa 2009 hadi 39.22 mwaka wa 2010.

Matokeo ya Kiswahili kama somo kwajumla katika mwaka wa 2010 yameimarika. Alama ya wastani ya Kiswahili kama somo mwaka huu ni 87.10 yakilinganishwa na mwaka wa 2009 ambapo alama hii ilikuwa 77.15(ongezeko la 10.16)

Alama ya tanganisho inaonyesha kuwa kuna baadhi ya watahiniwa ambao waliweza kujipatia alama nyingi zaidi ya alama ya wastani mwaka wa 2010, ikilinganishwa na mwaka 2009. Alama hii ilikuwa 32.58.

INSHA (102/1)

Jedwali 5: Matokeo ya Karatasi ya kwanza ya miaka ya 2007 – 2010.

Mwaka2007200820092010
Alama ya Wastani15.8014.2015.4014.32
Alama ya Tanganisho6.427.186.936.53

Jedwali hili laonyesha kwamba kwa miaka hii minne (2007-2010), matokeo ya karatasi ya 102/1 yamekuwa yakipanda na kuteremka na kwamba watahiniwa wengi hawajaweza kujipatia alama zaidi ya nusu ya alama zote ambazo zinaweza kutuzwa ambazo ni 40. Katika mwaka wa 2010, matokeo haya yaliteremka kwa kiasi cha alama 1.08.

Kiswahili Form 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi Na Matumizi ya Lugha

Kiswahili Form 2
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi Na Matumizi ya Lugha

Kiswahili Form 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Sarufi na Matumizi ya Lugha

Kiswahili Form 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma kwa Mapana
Sarufi na matumizi ya Lugha